Hesabu 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu atakayemteketeza ng'ombe huyo pia atazifua nguo zake kwa maji na kuoga mwili kwa maji, lakini naye pia atakuwa najisi hadi jioni.

Hesabu 19

Hesabu 19:7-13