Hesabu 19:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Haya ni masharti ya sheria ambayo mimi Mwenyezi-Mungu ninatoa. Waambieni Waisraeli wawaletee ng'ombe jike mwekundu asiye na dosari wala kasoro yoyote, na ambaye hajapata kufungwa nira.

Hesabu 19

Hesabu 19:1-4