Hesabu 19:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu yeyote akigusa mwili wa mtu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida nje ya nyumba, au akigusa mfupa wa mtu au kaburi, atakuwa najisi kwa siku saba.

Hesabu 19

Hesabu 19:14-22