Hesabu 19:14 Biblia Habari Njema (BHN)

“Na hii ndiyo sheria ya kufuatwa kama mtu akifia hemani: Kila mtu atakayeingia ndani ya hema hilo, au aliye ndani ya hema hilo, atakuwa najisi kwa siku saba.

Hesabu 19

Hesabu 19:7-15