Hesabu 19:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya tatu na ya saba mtu huyo atajiosha kwa yale maji ya utakaso, naye atakuwa safi. Lakini akiacha kujitakasa katika siku ya tatu na ya saba, mtu huyo atabaki kuwa najisi.

Hesabu 19

Hesabu 19:2-19