Hesabu 19:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu atakayeyazoa majivu ya ng'ombe huyo lazima azifue nguo zake, lakini atakuwa najisi hadi jioni. Sharti hili ni la kudumu, na litawahusu Waisraeli na watu wengine watakaoishi pamoja nao.

Hesabu 19

Hesabu 19:7-19