Hesabu 18:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ni mimi niliyewachagua ndugu zenu Walawi miongoni mwa Waisraeli kama toleo kwenu. Wao wametengwa kwa ajili yangu mimi Mwenyezi-Mungu, ili watoe huduma katika hema la mkutano.

Hesabu 18

Hesabu 18:4-16