Hesabu 18:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Walawi peke yao ndio watakaohudumu katika hema la mkutano; na kuwajibika kikamilifu juu yake. Hili ni sharti la kudumu katika vizazi vyenu vyote. Walawi hawatakuwa na mali ya kurithi nchini Israeli,

Hesabu 18

Hesabu 18:15-30