Hesabu 17:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Irudishe fimbo ya Aroni mbele ya sanduku la agano. Hiyo itatunzwa mahali hapo, na ni onyo kwa waasi hao kwamba wasipoacha kuninungunikia, watakufa.”

Hesabu 17

Hesabu 17:6-11