Hesabu 16:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kuhani Eleazari alivichukua vyetezo hivyo vya shaba ambavyo vililetwa mbele ya Mwenyezi-Mungu na wale watu walioteketezwa vikafuliwa kuwa kifuniko cha madhabahu.

Hesabu 16

Hesabu 16:34-42