Hesabu 15:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Na kama kuna mgeni anayeishi pamoja nanyi kwa muda au daima, akitaka kutoa sadaka yake kwa kuiteketeza, harufu impendezayo Mwenyezi-Mungu, mtu huyo atafanya kama mnavyofanya nyinyi.

Hesabu 15

Hesabu 15:11-24