Hesabu 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoshua, mwana wa Nuni, na Kalebu, mwana wa Yefune, ambao walikuwa miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, wakazirarua nguo zao

Hesabu 14

Hesabu 14:1-8