Hesabu 14:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Waamaleki na Wakanaani, waliokuwa wakiishi katika nchi hiyo ya milima, wakashuka, wakawashambulia na kuwashinda. Wakawafukuza mpaka mji wa Horma.

Hesabu 14

Hesabu 14:41-45