Hesabu 14:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, waliamka alfajiri na mapema wakaenda sehemu za milimani, wakisema, “Sasa tuko tayari kabisa kwenda mahali ambapo Mwenyezi-Mungu alituahidi. Tunakiri kwamba tulitenda dhambi.”

Hesabu 14

Hesabu 14:33-45