Hesabu 14:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutokana na makosa yenu, mtataabika kwa muda wa miaka arubaini, sawa na zile siku arubaini mlizopeleleza ile nchi, mwaka mmoja kwa kila siku moja; mtatambua kwamba mimi nimechukizwa.

Hesabu 14

Hesabu 14:31-36