Hesabu 14:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa nini Mwenyezi-Mungu anatupeleka katika nchi hiyo? Tutauawa vitani, na wake zetu na watoto wetu watachukuliwa mateka! Si afadhali turudi Misri?”

Hesabu 14

Hesabu 14:1-13