Hesabu 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Uliwatoa watu hawa nchini Misri kwa nguvu yako. Wamisri watakaposikia kwamba umewatenda hivyo watu wako,

Hesabu 14

Hesabu 14:8-20