Hesabu 13:7-14 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu.

8. Kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni.

9. Kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu.

10. Kabila la Zebuluni, Gadieli mwana wa Sodi.

11. Kabila la Yosefu (yaani kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi.

12. Kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali.

13. Kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli.

14. Kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi.

Hesabu 13