Hesabu 13:4-8 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Ifuatayo ndiyo orodha ya majina ya watu hao:Kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri.

5. Kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori.

6. Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

7. Kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu.

8. Kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni.

Hesabu 13