Hesabu 13:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo wakaeneza mambo ya uongo kati ya wana wa Israeli kuhusu nchi waliyoipeleleza, wakisema, “Nchi hiyo inawaua watu wake. Pia watu wote tuliowaona huko ni wakubwa sana.

Hesabu 13

Hesabu 13:26-33