Hesabu 13:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Waamaleki wanakaa katika eneo la Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanakaa katika eneo la milima, na Wakanaani wanakaa karibu na bahari ya Mediteranea na karibu na kingo za mto Yordani.”

Hesabu 13

Hesabu 13:22-33