Hesabu 13:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliwaendea Mose, Aroni na jumuiya ya Waisraeli huko Kadeshi, katika jangwa la Parani, wakatoa taarifa ya mambo waliyoyaona na kuwaonesha matunda ya nchi.

Hesabu 13

Hesabu 13:25-31