Hesabu 13:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika katika Bonde la Eshkoli, watu hao walikata shada la mzabibu lililokuwa na matunda mengi nalo lilibebwa na watu wawili juu ya mti. Walichukua pia makomamanga kadhaa na tini.

Hesabu 13

Hesabu 13:17-33