Hesabu 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Tuma watu waende wakaipeleleze nchi ya Kanaani ambayo ninawapa wana wa Israeli. Utatuma mtu mmoja kutoka katika kila kabila, na mtu huyo lazima awe kiongozi katika kabila lake.”

Hesabu 13

Hesabu 13:1-6