Hesabu 13:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kwenda kuipeleleza nchi ya Kanaani. Mose alimpa Hoshea mwana wa Nuni jina jipya, akamwita Yoshua.

Hesabu 13

Hesabu 13:15-21