Hesabu 12:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kama baba yake angemtemea mate usoni, je, hangeaibika kwa siku saba? Basi, mtoe nje ya kambi akae huko muda wa siku saba, kisha unaweza kumruhusu arudi kambini.”

Hesabu 12

Hesabu 12:9-16