Hesabu 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Miongoni mwa Waisraeli kulikuwa na kundi fulani lililoandamana nao ambalo lilikuwa na hamu kubwa. Waisraeli kwa mara nyingine walilia, wakisema. “Laiti kama tungeweza kupata nyama ya kula!

Hesabu 11

Hesabu 11:1-8