Hesabu 11:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitashuka huko na kuzungumza nawe; nitachukua sehemu ya roho niliyokupa, niwape watu hao. Nao watabeba jukumu la kuwatunza watu hawa pamoja nawe, usije ukaubeba mzigo huo peke yako.

Hesabu 11

Hesabu 11:13-20