Hesabu 11:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, ni mimi niliyewazaa, hata ukaniambia niwabebe kifuani pangu kama mlezi abebavyo mtoto mchanga, na kuwapeleka mpaka nchi uliyoapa kuwapa babu zao?

Hesabu 11

Hesabu 11:8-18