Hesabu 10:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hao, walifuata watu waliokuwa chini ya bendera ya kikosi kilichoongozwa na kabila la Efraimu, kundi moja baada ya jingine. Kiongozi wao alikuwa Elishama mwana wa Amihudi.

Hesabu 10

Hesabu 10:18-25