Hesabu 10:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu, watu waliokuwa chini ya bendera ya kikosi kilichoongozwa na kabila la Reubeni, walifuata kundi moja baada ya jingine. Kiongozi wao alikuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.

Hesabu 10

Hesabu 10:15-20