Hesabu 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale waliokuwa chini ya bendera ya kikosi cha kabila la Yuda, walitangulia, kundi moja baada ya jingine. Kiongozi wao alikuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.

Hesabu 10

Hesabu 10:4-18