Hesabu 1:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawa ndio watu waliokuwa wamehesabiwa ambao Mose na Aroni waliwahesabu wakisaidiwa na wale viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila kiongozi akiwakilisha ukoo wake.

Hesabu 1

Hesabu 1:40-52