Hagai 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hagai akawauliza tena, “Je, mtu aliye najisi kwa kugusa maiti, akigusa baadhi ya vyakula hivi, chakula hicho kitakuwa najisi?” Makuhani wakamjibu, “Ndiyo, kitakuwa najisi.”

Hagai 2

Hagai 2:12-19