Ezra 9:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, tutavunja amri zako tena na kuoana na watu hawa watendao maovu haya? Je, hutatukasirikia na kutuangamiza kabisa, asibaki hata mmoja wetu hai wala yeyote wa kutoroka?

Ezra 9

Ezra 9:6-15