Ezra 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Niliita waje kwangu viongozi tisa: Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu, pamoja na waalimu wawili, Yoyaribu na Elnathani.

Ezra 8

Ezra 8:15-24