Ezra 7:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Ifuatayo ni barua ambayo Artashasta alimpa Ezra, kuhani na mwandishi, na mwenye ujuzi katika amri na masharti ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa watu wa Israeli.

Ezra 7

Ezra 7:6-17