Ezra 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta wa Persia, palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Ezra. Ezra alikuwa mwana wa Seraya, mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,

Ezra 7

Ezra 7:1-9