Ezra 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, watu wa Israeli, makuhani, Walawi na watu wengine waliokuwa wamerudi kutoka uhamishoni waliiweka wakfu nyumba ya Mwenyezi-Mungu kwa shangwe kuu.

Ezra 6

Ezra 6:8-17