Ezra 4:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kazi ya kuijenga upya nyumba ya Mungu mjini Yerusalemu ilisimama, na hali hiyo iliendelea mpaka mwaka wa pili wa utawala wa Dario, mfalme wa Persia.

Ezra 4

Ezra 4:16-24