40. Maknadebai, Shashai, Sharai,
41. Azareli, Shelemia, Shemaria,
42. Shalumu, Amaria na Yosefu.
43. Ukoo wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
44. Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.