Ezra 10:29-33 Biblia Habari Njema (BHN)

29. Ukoo wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

30. Ukoo wa Pahath-moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.

31. Ukoo wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

32. Benyamini, Maluki na Shemaria.

33. Ukoo wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

Ezra 10