Ezra 10:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, tubuni dhambi zenu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zenu, na kufanya yale yanayompendeza. Jitengeni na wakazi wa nchi hii na kuwaacha wake zenu wa kigeni.”

Ezra 10

Ezra 10:8-13