Ezekieli 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mungu akaniambia, “Wewe mtu, je, waona mambo wanayofanya, machukizo makubwa wanayofanya Waisraeli ili wapate kunifukuza kutoka maskani yangu? Tena utaona machukizo mengine makubwa zaidi.”

Ezekieli 8

Ezekieli 8:3-12