Ezekieli 8:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipotazama, nikaona maono: Kitu kilichofanana na binadamu. Sehemu yake ya chini, iliyoonekana kama ndio kiuno chake, ilikuwa kama moto. Toka kiuno chake kwenda juu alikuwa na mngao kama wa shaba ingaayo.

Ezekieli 8

Ezekieli 8:1-7