Ezekieli 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Aliye mbali sana atakufa kwa maradhi mabaya. Aliye karibu atauawa kwa upanga. Atakayekuwa amebaki na kunusurika hayo mawili atakufa kwa njaa. Ndivyo nitakavyotimiza ghadhabu yangu dhidi yao.

Ezekieli 6

Ezekieli 6:4-14