Ezekieli 48:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Ukuta wa Mashariki utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: Lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.

Ezekieli 48

Ezekieli 48:29-35