Ezekieli 46:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtawala kamwe asipore mali ya watu. Ardhi yoyote anayowapa watoto wake wa kiume ni lazima itokane na eneo lake mwenyewe. Hivyo hatawadhulumu watu wangu kwa kuwanyanganya ardhi yao.”

Ezekieli 46

Ezekieli 46:9-24