Ezekieli 45:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hiyo ndiyo milki ya mtawala katika Israeli. Hivyo mtawala hatawadhulumu watu wangu, bali ataacha nchi igawiwe Waisraeli kulingana na makabila ya Israeli.

Ezekieli 45

Ezekieli 45:1-10