Ezekieli 45:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Atafanya vivyo hivyo siku ya saba ya mwezi huo, kwa ajili ya kila mtu aliyetenda dhambi bila kukusudia au kwa kutojua. Kwa njia hiyo mtaitakasa nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Ezekieli 45

Ezekieli 45:18-25